CCM Kilimani wasaka kura nyumba kwa nyumba
Chama cha Mapinduzi Kata ya kilimani kimeanza kusaka kura za wagombea wake wa mitaa minne kwa kupita nyumba kwa nyumba kunadi sera zao kwa wananchi ili wachaguliwe kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024. Katika Mtaa wa Nyerere na kilimani baadhi ya viongozi CCM wakiongozwa na Mjumbe wa kamati ya siasa wa kata […]
CCM Kilimani wasaka kura nyumba kwa nyumba Read More »