RC Chalamila azindua programu ya upandaji miti ya Michikichi Mto Mpiji
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amezindua rasmi programu ya upandaji wa miti ya Michikichi katika Mto Mpiji kwa lengo la kurejesha uoto wa asili na kuthibiti mmomonyoko wa udongo na kuimarisha mazingira yanayoathirika zaidi kutokana na mabadiliko ya tabianchi. Hafla hii ya uzinduzi imewakutanisha wadau mbalimbali wa mazingira wakiwemo NEMC, Wakandarasi […]
RC Chalamila azindua programu ya upandaji miti ya Michikichi Mto Mpiji Read More »