Rais Samia aziwezesha sekta binafsi kutekeleza miradi ya umeme
📌Shilingi bilioni 2 zimetolewa na REA kuendeleza mradi 📌 Utunzaji wa mazingira umepewa kipaumbele kwenye utekelezaji wa miradi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ameipa kipaumbele sekta binafsi kutekeleza miradi ya nishati ya umeme kwa kuwekeza katika sekta hiyo na kuwezesha fedha ili wananchi waendelee kupata umeme wa uhakika nchini. […]
Rais Samia aziwezesha sekta binafsi kutekeleza miradi ya umeme Read More »