Habari

Macha aipongeza serikali, TANAPA ujenzi barabara

MKURUGENZI wa Kampuni ya Utalii ya Wolway Trekking Tanzania Limited, John Macha amepongeza hatua zinazochukuliwa na Serikali kupitia TANAPA kuboresha barabara zilizoathiriwa na mvua pamoja na wingi wa magari ya utalii yanayopita kwa siku. Katika barabara hiyo inakadiriwa takribani magari 300 mpaka 500 yaliyobeba watalii hupita. Mkurugenzi huyo ameyasema hayo leo alipozungumza na waandishi wa

Macha aipongeza serikali, TANAPA ujenzi barabara Read More »

Taasisi ya Doris Mollel yalaani Mtoto mchanga ayelawitiwa hadi kifo Dodoma

Taasisi ya Doris Mollel, imeelezea masikitiko yake kwa kutokea kwa tukio la kikatili ambalo linakiuka haki za msingi za mtoto na kuhatarisha mustakabali wa ustawi wa watoto nchini, hivyo wametoa pole kwa familia ya mtoto wa miezi sita aliyeuawa kikatili baada ya kubakwa na baba yake mzazi katika eneo la Mbuyuni, Kata ya Kizota, jijini

Taasisi ya Doris Mollel yalaani Mtoto mchanga ayelawitiwa hadi kifo Dodoma Read More »

Bobi Wine apigwa risasi ya mguu

Mwanasiasa mashuhuri Nchini Uganda ambaye pia ni Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) amejeruhiwa kwa kupigwa risasi mguuni na Polisi wakati Polisi wakiwatawanya Wafuasi wake katika eneo la Bulindo Manispaa ya Kira. Vyombo vya Habari Nchini Uganda vimeripoti kuwa Bobi amepigwa risasi mguuni kauli ambayo imethibitishwa na Admin wa ukurasa wa X (zamani Twitter)

Bobi Wine apigwa risasi ya mguu Read More »

Dk.Mpango aipongeza Wizara ya Maji usimamizi na utekelezaji wa miradi ya maji nchini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Philip Mpango ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Maji Ibihwa, Wilayani Bahi, Jijini Dodoma. Mpango ameipongeza Wizara ya Maji kwa usimamizi mzuri na utejelezaji wa miradi ya maji nchini.Pamoja na hilo pongezi hizi zimejukisha mradi wa maji Ibihwa na kusisitiza kuongeza kasi ya

Dk.Mpango aipongeza Wizara ya Maji usimamizi na utekelezaji wa miradi ya maji nchini Read More »

DART hakikisheni wakazi Dar wanapata kadi janja za mabasi ya mwendokasi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa ameitaka Wakala wa Mabasi yaendayo kwa Haraka (DART) kuhakikisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam wanapata kadi janja kwa urahisi na kuanza kuzitumia kwa ajili ya usafiri wa mabasi ya mwendokasi. Mhe. Mchengerwa ametoa maelekezo hayo jijini Dar

DART hakikisheni wakazi Dar wanapata kadi janja za mabasi ya mwendokasi Read More »

Samia akutana na Rais wa China, asaini makubaliano ya kuboresha reli ya TAZARA

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya kikao na Rais wa China, Xi Jinping wamejadiliana kuimarisha uhusiamo mzuri uliodumu zaidi ya miaka 60. Rais Samia alikutana na Rais Jinping pamoja na ujumbe wake mapema leo katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Beijing. Aidha, Rais Samia amefanikiwa kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia ya Tanzania na

Samia akutana na Rais wa China, asaini makubaliano ya kuboresha reli ya TAZARA Read More »

Miili 17 yapatikana kufuatia ajali ya helikopta ya watalii Urusi

Waokoaji katika eneo la mashariki mwa Urusi Urusi hawakupata mtu yeyote aliyenusurika kwenye mabaki ya helikopta iliyotoweka ikiwa imebeba watu 22 wengi wao wakiwa watalii. Ndege hiyo ilitoweka siku ya Jumamosi baada ya kupaa kutoka kambi moja karibu na volcano ya Vachkazhets katika rasi ya Kamchatka. Maafisa wanasema miili 17 ilikuwa imepatikana kufikia sasa. Eneo

Miili 17 yapatikana kufuatia ajali ya helikopta ya watalii Urusi Read More »