Habari

Dk. Biteko asema Rais Samia anataka ubunifu ili kusogeza huduma bora kwa wananchi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watendaji na Watumishi katika Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati kuwa na umoja, ushirikiano na ubunifu ili kusogeza huduma bora kwa wananchi ikiwemo za umeme, mafuta,na Nishati Safi ya Kupikia. Amesema hayo tarehe 28 Oktoba, 2024 jijini Dodoma wakati wa Kikao chake

Dk. Biteko asema Rais Samia anataka ubunifu ili kusogeza huduma bora kwa wananchi Read More »

Aweso aeleza makubwa aliofanya Rais Samia uwekezaji miundombinu ya elimu

Waziri wa Maji Jumaa Aweso amesema Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya kazi kubwa sana katika uwekezaji kwenye Miundombinu ya Elimu. Waziri Aweso ameyasema hayo baada ya kuzindua mradi wa Ujenzi wa shule mpya ya Kata ya Mwanuzi yenye madarasa nane, jengo la Utawala, Maabara tatu,vyoo kumi, chumba

Aweso aeleza makubwa aliofanya Rais Samia uwekezaji miundombinu ya elimu Read More »

Verified by MonsterInsights