“Jasusi wa Urusi” akutwa amekufa Norway
Nyangumi aina ya ‘beluga’ anayeshukiwa kupewa mafunzo ya kijasusi na Urusi amekutwa amekufa pwani ya Norway. Mwili wa nyangumi huyo -aliyepewa jina la utani kama Hvaldimir – ulikutwa ukielea na umepelekwa kwenye bandari ya karibu kwa uchunguzi. Nyangumi huyo alionekana kwa mara ya kwanza katika maji ya Norway miaka mitano iliyopita, akiwa na kamera ya […]
“Jasusi wa Urusi” akutwa amekufa Norway Read More »