Habari

PSSSF Kidigitali yabisha hodi Chuo cha Polisi Moshi

MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umewasajili kwenye Mfumo wa Kilelektroniki, PSSSF Kidigitali, Askari Polisi wanafunzi 3500 katika Chuo Cha Polisi (CCP), kilichoko mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro. Akizungumza kwenye zoezi hilo lililofanyika Septemba 2, 2024, Meneja wa PSSSF Kanda ya Kati, Bw. Michael Bujiba, amesema, PSSSF imefika Chuo Cha Polisi Moshi

PSSSF Kidigitali yabisha hodi Chuo cha Polisi Moshi Read More »

Shule Dodoma zaanza kuunga mkonoMatumzi nishati safi ya kupikia

BAADHI ya wamiliki wa shule mkoani Dodoma wameunga mkono wito wa Rais Samia Suluhu Hassan wa matumizi ya Nishati safi shuleni, wakisifu na kueleza ni hatua ya kuelekea katika mwelekeo sahihi. Mmiliki na Mwanzilishi wa Shule za Elshaddai mkoani humo, Juliana Kalinga anasema mabadiliko hayo ya nishati safi katika taasisi hiyo yamesaidia kupunguza gharama zisizo

Shule Dodoma zaanza kuunga mkonoMatumzi nishati safi ya kupikia Read More »

Tanzania ipo tayari kwa uwekezaji utakaoongeza thamani ya madini ndani ya nchi

Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema Tanzania inakaribisha wawekezaji wote wa madini mkakati na kuweka msisitizo kwamba uongezaji thamani wa madini hayo mkakati lazima ufanyike Tanzania. Mavunde ameyasema hayo leo Bali,Indonesia wakati wa majadiliano juu ya manufaa ya Madini Mkakati katika kukuza uchumi wa nchi wazalishaji ikiwa ni sehemu ya mkutano wa jukwaa la INDONESIA

Tanzania ipo tayari kwa uwekezaji utakaoongeza thamani ya madini ndani ya nchi Read More »

“Miradi ya nishati kunufaisha wananchi wanaoizunguka”-Kapinga

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema wananchi wanaoishi katika maeneo ambayo yana miradi mikubwa ya nishati watanufaika na miradi hiyo kupitia upatikanaji wa huduma mbalimbali. Mhe. Kapinga amesema hayo  Agosti 30, 2024 bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Ally Kasinge Mbunge wa Kilwa Kusini ambaye alitaka kufahamu mkakati wa Serikali katika kuhakikisha Kisiwa

“Miradi ya nishati kunufaisha wananchi wanaoizunguka”-Kapinga Read More »

Jeshi la Polisi lashtukia njama za CHADEMA kuvamia vituo vya polisi

JESHI la Polisi Tanzania limeshtukia mipango ovu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya kufanya vikao vya kujaribu kuhamasisha vurugu, likisema wote wanaotaka kufanya uharamia huo watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania David Misime, amesema hayo leo ikiwa ni mwendelezo wa kutoa elimu kwa Watanzania wakiwemo wanasiasa juu ya

Jeshi la Polisi lashtukia njama za CHADEMA kuvamia vituo vya polisi Read More »

Makandarasi wametakiwa kuandaa zabuni shindani katika usimamizi wa miradi ya ujenzi

Makandarasi wameaswa kuandaa zabuni shindani na nzuri kwa kuzingatia misingi ya utayarishaji wa zabuni ikiwa ni pamoja na uandaaji wa bei za zabuni. Aidha, wameaswa kutumia ujuzi walioongeza katika kuboresha zabuni na pia kuendelea kutafuta na kuongeza ujuzi na maarifa kupitia njia mbalimbali kama mafunzo rasmi, mitandao, mikutano, n.k. Akizungumza wakati wakufunga mafunzo ya Maandalizi

Makandarasi wametakiwa kuandaa zabuni shindani katika usimamizi wa miradi ya ujenzi Read More »