Silaa: Watumishi Singida tangulizeni maslahi mbele ya wananchi
WAZIRI wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, amewataka watumishi wa sekretarieti ya Mkoa wa Singida kutanguliza maslahi mbele ya wananchi katika utendaji wao wa kazi ili kuupaisha mkoa huo na taifa kimaendeleo. Akizungumza na watumishi hao leo Oktoba 26, 2024 amesema iwapo watatanguliza maslahi ya wananchi kazi zitakwenda vizuri lakini wakitanguliza maslahi yao […]
Silaa: Watumishi Singida tangulizeni maslahi mbele ya wananchi Read More »