Serikali itaendelea kushirikisha wawekezaji uendelezaji Nishati Jadidifu- Dk. Mataragio
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dk. James Mataragio amesema Serikali itaendelea kuwashirikisha wawekezaji katika maeneo yenye nishati jadidifu ili kuyaendeleza na hivyo kuwezesha azma ya nchi kuwa na umeme unaotokana na vyanzo mchanganyiko. Amesema hayo jijini Dodoma wakati Wizara ya Nishati ikiwasilisha taarifa kuhusu utekelezaji wa miradi ya Nishati Jadidifu inayotokana na Jotoardhi, […]
Serikali itaendelea kushirikisha wawekezaji uendelezaji Nishati Jadidifu- Dk. Mataragio Read More »