Habari

Ulega: Rais Samia kuongoza Mkutano wa Mawaziri zaidi ya 70 Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwaongoza Mawaziri zaidi ya 70 kutoka mataifa wanachama wa Umoja wa Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) kujadili masuala mbalimbali ya uchumi wa buluu ili kuweka mkakati wa pamoja kuimarisha sekta ya uvuvi. Hayo yamebainishwa leo Agosti 29, 2024 na Waziri wa Mifugo na […]

Ulega: Rais Samia kuongoza Mkutano wa Mawaziri zaidi ya 70 Tanzania Read More »

Dk. Biteko: Tanzania yajipanga kutumia nishati ya nyuklia kuzalisha umeme

Tanzania imeeleza mpango na utayari wake katika uendelezaji wa nishati ya nyuklia ikiwa ni moja ya vyanzo mbadala vya nishati safi ya umeme kwa maendeleo ya kiuchumi na ustawi wa jamii. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko wakati akiwasilisha Mpango wa Tanzania katika Mkutano wa Pili wa

Dk. Biteko: Tanzania yajipanga kutumia nishati ya nyuklia kuzalisha umeme Read More »

OSHA yakumbushia umuhimu wa usalama na afya kazini kwa waajiri, wafanyakazi

WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeelezea umuhimu wa kulinda uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali katika rasilimali watu kuanzia wanapozaliwa hadi kufikia hatua ya kuajiriwa au kujiajiri katika shughuli mbalimbali za kiuchumi. Umuhimu huo umeelezwa Jana Jijini Arusha na Mtendaji Mkuu wa OSHA,Khadija Mwenda, alipokuwa akiwasilisha mada kuhusu masuala ya Usalama na

OSHA yakumbushia umuhimu wa usalama na afya kazini kwa waajiri, wafanyakazi Read More »

PSSSF yatoa huduma kwenye kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma AICC-Arusha

MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), umeweka kambi kwenye viwanja vya Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), ili kutoa huduma kwa wajumbe wa Kikao Kazi cha Wenyeviti na Wakuu wa Taasisi za Umma kilichofunguliwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, jana Agosti 28, 2024. Kwa mujibu wa Meneja wa

PSSSF yatoa huduma kwenye kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma AICC-Arusha Read More »

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar yaipongeza NSSF kwa mafanikio katika utendaji

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Mwanaasha Khamis Juma wameupongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa mafanikio makubwa uliyopata katika utekelezaji wa majukumu yake ya msingi ambayo ni kuandikisha wanachama, kukusanya michango, kuwekeza na kulipa mafao. Mwanaasha ametoa pongezi hizo wakati walipofanya ziara ya kikazi

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar yaipongeza NSSF kwa mafanikio katika utendaji Read More »

REA yawapongeza,yawashukuru waratibu wa miradi ya Nishati vijijini

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umewapongeza na kuwashukuru Waratibu wa Miradi ya Nishati vijijini kwa uzalendo na juhudi zao zilizowezesha mradi wa kupeleka umeme vijijini kufanikiwa na kukamilika katika ubora uliotarajiwa. Pongezi hizo zimetolewa leo Agosti 27, Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Mipango na Utafiti REA, Mhandisi Godfrey Chibulunje kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wakati

REA yawapongeza,yawashukuru waratibu wa miradi ya Nishati vijijini Read More »

Kapinga aeleza juhudi za serikali kusambaza vituo vya CNG nchini

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania ( TPDC), inajenga vituo vya kujazia gesi kwenye magari (CNG) mkoani Dar es Salaam (viwili) na mkoani Pwani (kimoja) huku TPDC ikiendelea na ununuzi wa vituo vidogo vya kujaza CNG kwenye magari vinavyohamishika ambavyo vitasimikwa

Kapinga aeleza juhudi za serikali kusambaza vituo vya CNG nchini Read More »

Kamishina Jenerali Lyimo aongoza kuteketeza hekari 1,165 za mashamba ya bangi Morogoro

MAMLAKA ya kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA )imeteketeza jumla ya ekari 1,165 za mashamba ya Bangi pamoja na kukamata kilogramu 102 za mbwgi za bangi katikavijiji vya Mafumbo na Lujenge mkoani Morogoro. Akizungumza Kamishna Jenerali wa mamlaka hiyo (DCEA)Aretas Lyimo baada ya uteketezaji huo alisema mashamba hayo yalikua yamelimwa pembezoni mwa mto Mbakana,Misigiri,

Kamishina Jenerali Lyimo aongoza kuteketeza hekari 1,165 za mashamba ya bangi Morogoro Read More »