“Endeleeni kuelimisha umma kuhusu shughuli za Ofisi ya Waziri Mkuu”- Katibu Mkuu Agnes
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Agnes Meena ametoa rai kwa Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waendelee kutoa elimu kwa wananchi kuhusu utendaji wa taasisi na programu mbalimbali zinazosimamiwa na Ofisi hiyo. Kauli hiyo ameitoa leo Agosti 02, 2025 alipotembelea banda la Ofisi hiyo akiwa ameambatanan na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo […]
“Endeleeni kuelimisha umma kuhusu shughuli za Ofisi ya Waziri Mkuu”- Katibu Mkuu Agnes Read More »