Watanzania milioni 26 wajiandikisha kupiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa-Mchengerwa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema kufikia Oktoba 19, 2024, Jumla ya watanzania wenye sifa Milioni 26, 769,995 sawa na asilimia 81% wamejiandikisha kwenye daftari la Mpigakura, tayari kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Waziri Mchengerwa ametoa takwimu […]
Watanzania milioni 26 wajiandikisha kupiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa-Mchengerwa Read More »