Habari

Nishati Safi ya kupikia itaondoa kadhia za kuni na mkaa kwa watu wenye mahitaji maalum- Nderiananga

Naibu Waziri Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Ummy Nderiananga amesema kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia yanaenda kuwaokoa watu wenye mahitaji maalum na kadhia zinazotokana na matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia ikiwemo kuni na mkaa. Amesema kadhia hizo wanazipata nyakati za utafutaji na utumiaji wa nishati hizo zisizo […]

Nishati Safi ya kupikia itaondoa kadhia za kuni na mkaa kwa watu wenye mahitaji maalum- Nderiananga Read More »

Waziri Mhagama ampongeza Haroon kwa uwekezaji wa hospitali ya Shifaa

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Afya, Jenista Mhagama amezindua Kituo cha Tiba na Utafiti wa Saratani cha Shifaa na kuahidi kuwa serikali itaendelea kuongeza bajeti ya dawa za saratani kila mwaka kutokana na ongezeko kubwa la wagonjwa wa saratani. Waziri Mhagama aliyasema hayo Ijumaa jioni jijini Dar es Salaam wakati akizindua kituo hicho kilichoko kwenye

Waziri Mhagama ampongeza Haroon kwa uwekezaji wa hospitali ya Shifaa Read More »

UWT ipo na Rais Samia uhamasishaji matumizi ya Nishati Safi ya kupikia- Chatanda

Mwenyekitiwa Jumuiya ya Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Taifa (UWT), Mary Chatanda amesema  Jumuiya hiyo itaendelea  kuunga mkono juhudi za Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan katika kuhamasisha matumizi ya Nishati safi ya kupikia  kupitia mkakati uliopo wa matumizi ya Nishati safi ya kupikia.  Chatanda ameyasema hayo jijini Dodoma  wakati akihamasisha wananchi kuachana na matumizi ya nishati

UWT ipo na Rais Samia uhamasishaji matumizi ya Nishati Safi ya kupikia- Chatanda Read More »

Wizara ya Maji na Shirika la GIZ la Ujerumani kushirikiana kuzijengea uwezo Taasisi za Maji

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso(Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Shirika la GIZ la Ujerumani kuhusu kuanzisha programu ya kuzinjegea uwezo watumishi na Taasisi za maji kuhusu masuala ya menejimenti na uongozi. Mazungumzo hayo yaliyofanyika makao makuu ya GIZ, Eschborn nchini Ujerumani yanalenga kuendeleza mageuzi ya Sekta ya Maji nchini kuimarisha uwezo wa watumishi

Wizara ya Maji na Shirika la GIZ la Ujerumani kushirikiana kuzijengea uwezo Taasisi za Maji Read More »

Kapinga aihamasisha Dunia kushiriki Duru ya tano ya vitalu vya Gesi Asilia Tanzania

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wizara ya Nishati itaanza  zoezi la kunadi vitalu 24 vya utafutaji wa mafuta na gesi asilia mwezi Machi 2025 katika kipindi cha  Kongamano na Maonesho ya Mafuta na Gesi Asilia  Afrika Mashariki yatakayofanyika nchini. Judith Kapinga amesema hayo wakati akihutubia  Kongamano la Wiki ya Mafuta Afrika

Kapinga aihamasisha Dunia kushiriki Duru ya tano ya vitalu vya Gesi Asilia Tanzania Read More »

Wakazi Dar es Salaam ya Kusini wapewa uhakika Majisafi ifikapo Desemba 2024

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) William Lukuvi ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa usambazaji maji Dar es Salaam ya kusini maarufu kama Bangulo na kuahidi kukamilika mapema Desemba 2024 na utahudumia wakazi zaidi ya 450,000 katika kata za Pugu station, Kipinguni, Kiluvya, Kitunda, Mzinga, Kinyerezi na Msigani.

Wakazi Dar es Salaam ya Kusini wapewa uhakika Majisafi ifikapo Desemba 2024 Read More »