DAWASA yaingia mtaani kusikiliza na kutatua changamoto za kihuduma
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeanza maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa kuwafikia wateja wake katika maeneo mbalimbali ya kihuduma katika Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani ili wanatatua na kuboresha huduma. Akizungumza na vyombo vya habari, Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja DAWASA, CPA (T) Rithamary […]
DAWASA yaingia mtaani kusikiliza na kutatua changamoto za kihuduma Read More »