Lukuvi atembelea Mradi wa Ujenzi wa Mfereji Mkombozi, Pawaga
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi (Mb) Isimani amesema Mfereji Mkubwa wa Umwagiliaji wa Mkombozi unaojengwa na Serikali katika Bonde la Pwaga utakuwa msaada mkubwa kwa wananchi katika kujishughulisha na kazi za kilimo. Waziri ametoa kauli hiyo katika ziara yake ya kutembelea Miradi ya Maendeleo na kufanya […]
Lukuvi atembelea Mradi wa Ujenzi wa Mfereji Mkombozi, Pawaga Read More »