Kalungwana kortini tuhuma wizi wa Mita za DAWASA
Emmanuel Kalungwana Mkazi wa Mbezi Africana, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu shtaka la kuingilia miundombinu ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ambalo ni kosa la uhujumu uchumi. Kalungwana amefikishwa Mahakamani hapo na kusomewa shtaka lake na wakili wa Serikali, Salima Jafari mbele ya Hakimu Mkazi wa […]
Kalungwana kortini tuhuma wizi wa Mita za DAWASA Read More »