Dk. Biteko kuweka jiwe la msingi mradi bwawa kuzalisha umeme Kigoma
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, kesho anatarajia kuwa mgeni rasmi katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme katika Mto Malagarasi, mkoani Kigoma. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkuu Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Neema Mbuja, kukamilika kwa bwawa hilo kutawezesha kuzalishwa […]
Dk. Biteko kuweka jiwe la msingi mradi bwawa kuzalisha umeme Kigoma Read More »