EWURA kuwasaka wauzaji mafuta kwenye vidumu, chupa
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imewaagiza wamiliki wote wa vituo vya mafuta ya petroli nchini kuhakikisha wanachukua hatua stahiki zinazozingatia usalama wa afya, mali na mazingira wakati wote wa uendeshaji wa biashara hizo. EWURA imetoa agizo hilo kutokana na ongezeko la matukio ya milipuko ya moto inayotokana na uhifadhi au […]
EWURA kuwasaka wauzaji mafuta kwenye vidumu, chupa Read More »