Dkt. Mwigulu aipongeza PPAA kuanzisha Moduli ya kupokea Rufaa Kieletroniki
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameipongeza Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) kwa kuanzisha moduli ya kuwasilisha rufaa/malalamiko kwa njia ya kieletroniki. Dkt. Mwigulu ametoa pongezi hizo alipotembelea banda la PPAA katika viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC), na kusema kuwa anaamini moduli hiyo itaisaidia kupata thamani halisi […]
Dkt. Mwigulu aipongeza PPAA kuanzisha Moduli ya kupokea Rufaa Kieletroniki Read More »