Habari

SBL yazindua mpango wa kilimo biashara kuongeza mavuno kwa wakulima

Dar es Salaam, Tanzania – 31 Julai 2025: Mavuno hafifu yanayosababishwa na matumizi ya mbolea na viuatilifu bandia, mabadiliko ya ghafla ya mvua, ukosefu wa ujuzi wa kilimo cha kisasa, pamoja na matumizi ya teknolojia zilizopitwa na wakati, ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazokwamisha uzalishaji wa mazao nchini Tanzania. Haya ndiyo masuala makuu ambayo mpango

SBL yazindua mpango wa kilimo biashara kuongeza mavuno kwa wakulima Read More »

TADB yatoa udhamini wa milioni 400 nane nane Dodoma

Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB),imemshukuru Rais Samia Sulunu Hassan kwa kuipa fedha nyingi ambazo zimeiwezesha kuwakopesha wakulima wengi na hatimaye kutangazwa kuwa mionghoni mwa benki kubwa nchini. Benki hiyo ndiyo  imekuwa Mdhamini Mkuu wa maonyesho ya wakulima  ya nane nane yanayoanza kesho Ijumaa kwenye viwanja vya nane nane mkoani Dodoma ambapo Makamu wa Rais

TADB yatoa udhamini wa milioni 400 nane nane Dodoma Read More »

Martha Kivunge na Chiku Issa waibuka kidedea kura za maoni UWT Arusha

Wanasiasa mahiri Martha Kivunge na Chiku Issa wameibuka washindi katika kura za maoni za kusaka mgombea wa Ubunge wa Viti Maalum (UWT) Mkoa wa Arusha, baada ya kupata idadi kubwa ya kura katika uchaguzi uliohusisha wagombea wanane. Akizungumza baada ya zoezi hilo, Msimamizi wa Uchaguzi ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenan Kihongosi,

Martha Kivunge na Chiku Issa waibuka kidedea kura za maoni UWT Arusha Read More »

Rais Samia: Ajira zaidi ya 4,000 kuzalishwa Kiwanda cha Urani

“Tathmini iliyofanywa inaonesha kuwa mradi huu utakuwa na uhai wa uzalishaji kwa muda wa zaidi miaka ishirini. Katika kipindi hicho Tanzania itapata manufaa na faida zifuatazo; Moja, uwekezaji wa fedha za kigeni unaokadiriwa kufikia kiasi cha dola za Marekani bilioni 1.2. Hizi ndizo fedha zitakazowekezwa kwenye mradi huu. Lakini pili ni ajira, ajira zinazopata 3,500

Rais Samia: Ajira zaidi ya 4,000 kuzalishwa Kiwanda cha Urani Read More »

Prof. Mwandosya kinara wa matibabu ya saratani nchini – Dk. Biteko

📌Dk. Biteko azindua Kitabu cha Living with Cancer cha Prof.  Mark Mwandosya 📌 Watanzania watakiwa kujenga utamaduni wa kupima afya 📌Serikali yaimarisha huduma za uchunguzi na matibabu ya saratani Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amemuelezea  Prof. Mark Mwandosya kuwa ni

Prof. Mwandosya kinara wa matibabu ya saratani nchini – Dk. Biteko Read More »

CP Hamduni: NGO zingatie sheria, kanuni na kulinda maslahi ya Taifa

Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, CP Salum Hamduni, ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO) mkoani humo, kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia sheria, kanuni, na mwongozo wa uratibu na usimamizi wa mashirika hayo, huku wakilinda maslahi ya taifa na kuheshimu mila na desturi za Mtanzania. Amebainisha hayo leo Julai 30,2025 kwa niaba ya Mkuu wa

CP Hamduni: NGO zingatie sheria, kanuni na kulinda maslahi ya Taifa Read More »