Habari

Mhandisi Mativila -Matumizi ya teknolojia mbadala yapunguza gharama za ujenzi

Matumizi ya Teknolojia mbadala na malighafi zinazopatikana maeneo ya kazi kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja imeweza kupunguza gharama zaidi ya asilimia 70. Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila alipotembelea banda la TARURA kwenye Maadhimisho ya 21 ya Siku ya Wahandisi katika ukumbi wa

Mhandisi Mativila -Matumizi ya teknolojia mbadala yapunguza gharama za ujenzi Read More »

Rais Dk.Mwinyi awasili Maputo kushiriki miaka 50 ya Siku ya Ushindi nchini Msumbiji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewasili jijini Maputo, Msumbiji akitokea nchini Indonesia kwa gwaride maalum na ujumbe wake akiwemo Mkewe Mama Mariam Mwinyi. Katika uwanja wa ndege wa Maputo amepokelewa na viongozi mbalimbali wa juu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Msumbiji akiwemo Waziri

Rais Dk.Mwinyi awasili Maputo kushiriki miaka 50 ya Siku ya Ushindi nchini Msumbiji Read More »

Kenya yatangaza siku 3 za maombolezo kufuatia tukio la moto uliowaua watoto 18

Rais wa Kenya William Ruto ametangaza muda wa siku tatu wa maombolezo ya kitaifa kufuatia mkasa wa moto uliowaka katika bweni la Hillside Endarasha katika kaunti ya Nyeri na kusababisha vifo vya watoto 18. Katika tangazo lililotolewa na ofisi ya Ijumaa jioni, rais huyo wa Kenya kuwa siku hizo tatu zitaanza alfajiri Jumatatu, Septemba 9,

Kenya yatangaza siku 3 za maombolezo kufuatia tukio la moto uliowaua watoto 18 Read More »

Askari wa kike kutoka Tanzania walivyo tumia fursa Mkutano wa Dunia Marekani kutangaza utalii na vivutio

Askari wa kike kutoka nchini Tanzania wakiwa katika Jiji la Chicago Nchini Marekani wametumia fursa ya Mafunzo yaliyofanyika nchini humo kutangaza Utalii na vivutio vya vilivyopo nchini ikiwa ni kuunga mkono Juhudi za mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini Tanzania Dkt Samia

Askari wa kike kutoka Tanzania walivyo tumia fursa Mkutano wa Dunia Marekani kutangaza utalii na vivutio Read More »

Majaliwa aitaka Wizara ya Uchukuzi kusimamia huduma SGR

Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Uchukuzi iendelee kulisimamia kwa karibu Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kuhakikisha huduma za treni ya SGR zinaboreshwa na miundombinu inaimarishwa ili mradi huo uweze kudumu kwa muda mrefu. Amesema katika mwaka wa fedha 2024/2025, Serikali itaendeleza sekta ya uchukuzi ambapo pamoja na mambo mengine itasimamia sekta ya reli

Majaliwa aitaka Wizara ya Uchukuzi kusimamia huduma SGR Read More »

Mbowe kumburuza mahakamani Mch.Msigwa, ampa siku tano kumuomba radhi

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Freeman Mbowe ametangaza kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa na Mbunge wa zamani wa chama hicho ambaye sasa ni kada wa CCM mchungaji Peter Msigwa kutokana na kauli za kumdhalilisha anazozitoa dhidi yake. Mbowe ametangaza kusudio hilo kupitia barua ya wito aliyomwandikia Mchungaji Msigwa kupitia

Mbowe kumburuza mahakamani Mch.Msigwa, ampa siku tano kumuomba radhi Read More »