OSHA yakumbushia umuhimu wa usalama na afya kazini kwa waajiri, wafanyakazi
WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeelezea umuhimu wa kulinda uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali katika rasilimali watu kuanzia wanapozaliwa hadi kufikia hatua ya kuajiriwa au kujiajiri katika shughuli mbalimbali za kiuchumi. Umuhimu huo umeelezwa Jana Jijini Arusha na Mtendaji Mkuu wa OSHA,Khadija Mwenda, alipokuwa akiwasilisha mada kuhusu masuala ya Usalama na […]
OSHA yakumbushia umuhimu wa usalama na afya kazini kwa waajiri, wafanyakazi Read More »