Watu wanne wafariki ajali ya basi la Baraka na Lori Vigwaza
WATU wanne wamefariki dunia akiwemo mtoto mmoja baada ya basi la abiria Kampuni ya Baraka kugongana uso kwa uso na Lori la Mafuta. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Pius Lutumo amesema ajali hiyo imetokea maeneo ya Vigwaza baada ya basi hilo lililokuwa likitokea Dodoma kutaka kuyapita magari mengine na kukutana uso kwa uso na […]
Watu wanne wafariki ajali ya basi la Baraka na Lori Vigwaza Read More »