Monday, March 23, 2026
spot_img
HomeHabariMakalla: Chama Cha Mapinduzi kimeongozwa na 4R ya Dk. Samia

Makalla: Chama Cha Mapinduzi kimeongozwa na 4R ya Dk. Samia

“Chama Cha Mapinduzi kimepokea ushindi huu kwa furaha kubwa. Na tumekuwa katika kampeni kwa siku saba kuanzia tarehe 20 mpaka tarehe 26 na tarehe 27 tumeweza kupiga kura.

Ahadi yetu wakati wa kampeni ni kwamba Chama Cha Mapinduzi kimeongozwa na 4R za Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan,”Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments