Michezo

NMB yadhamini Bonanza la Wiki ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi

Katika kuadhimisha Wiki ya Maonesho ya Kitaifa ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi, Benki ya NMB imedhamini na kushiriki bonanza maalum lililoandaliwa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) mjini Singida. Bonanza hilo, lililofanyika katika Uwanja wa VETA – Singida, lilikutanisha makampuni kutoka sekta binafsi na ya umma yaliyoshindana katika michezo […]

NMB yadhamini Bonanza la Wiki ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Read More »

Zuhura: Michezo ni mwarobaini magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwa wafanyakazi

NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus amesisitiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga tabia ya kushiriki michezo na kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao na kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza ambayo yanawakabili watu wengi ulimwenguni. Zuhura alitoa wito huo wakati akifunga Bonanza la michezo (OSHA Bonanza)

Zuhura: Michezo ni mwarobaini magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwa wafanyakazi Read More »

Simba yatua Afrika Kusini kuandika historia ya Kombe la Shirikisho

Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, amesema kikosi chake kimewasili Afrika Kusini kwa kazi moja tu—kuhakikisha kinatinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Akizungumza jijini Durban baada ya kutua kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Stellenbosch FC Jumapili hii, Fadlu amesema hana hofu yoyote na amejiandaa kikamilifu kuhakikisha Simba inafanikiwa. Katika mchezo

Simba yatua Afrika Kusini kuandika historia ya Kombe la Shirikisho Read More »

Fountain Gate yamsimamisha Kipa John Noble kwa uzembe dhidi ya Yanga

Uongozi wa Fountain Gate unadaiwa kumsimamisha kipa wake Mnigeria, John Noble kwa makosa yanayodaiwa kuwa ni ya kizembe mna kuigharimu timu hiyo kukubali kichapo cha mabao 4-0 kutoka kwa Yanga. Noble amefungwa mabao mawili kati ya manne waliyofungwa na Yanga akicheza kwa dakika 45 za kipindi cha kwanza kabla ya benchi la ufundi kufanya uamuzi

Fountain Gate yamsimamisha Kipa John Noble kwa uzembe dhidi ya Yanga Read More »

Rais Samia ampongeza Alphonce Simbu ushindi wa pili Boston Marathon

Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa pongezi za dhati kwa mwanariadha Alphonce Simbu kwa kushika nafasi ya pili katika Mashindano ya Kimataifa ya Mbio za Boston (Boston Marathon) yaliyofanyika hivi karibuni nchini Marekani. Kupitia salamu zake, Rais Samia amesema: “Pongezi za dhati kwa Alphonce Simbu kwa kushika nafasi ya pili katika Mashindano ya Kimataifa ya Mbio

Rais Samia ampongeza Alphonce Simbu ushindi wa pili Boston Marathon Read More »