Michezo

Namungo na Pamba Jiji zasafisha vikosi

Namungo FC imeweka rekodi ya kuachana na wachezaji 13 kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu, akiwemo Antony Mlingo aliyeuzwa Simba na Salehe Karabaka kurejea Yanga. Wengine ni Beno Kalolanya, Emmanuel Asante, Erasto Nyoni, Meddie Kagere, Erick Malongi, Derick Mukombozi, Issa Abushehe, Joshua Ibrahim, Erick Kapaito, Emmanuel Charles na Anderson Solomon. Klabu hiyo tayari imesajili Heritier

Namungo na Pamba Jiji zasafisha vikosi Read More »

Tanzania kushiriki Kabaddi Malaysia

Tanzania itashiriki mashindano ya Dunia ya Kabaddi ya ufukweni yatakayofanyika Malaysia kuanzia Septemba 23–29 mwaka huu. Mwenyekiti wa Chama cha Kabaddi Tanzania, Abdallah Nyoni alisema timu za wanaume na wanawake zitaiwakilisha nchi na zitaingia kambini Septemba 8 jijini Dar es Salaam. Alisema lengo ni kufanya vizuri na kuitangaza Tanzania kimataifa huku akitoa wito kwa wadau

Tanzania kushiriki Kabaddi Malaysia Read More »

Mashujaa yachukua kitasa Pamba

Mashujaa FC imemsajili beki wa kati wa Pamba Jiji, Samson Madeleke, akichukua nafasi ya Ame Ibrahim aliyejiunga na Mbeya City. Madeleke, ambaye aliwahi pia kucheza Mbeya City na Mashujaa, anakuwa mchezaji wa 11 kusajiliwa na klabu hiyo kuelekea msimu mpya. Mashujaa tayari imesajili wachezaji kadhaa akiwemo Selemani Bwenzi (KenGold), Omari Omari (Simba – mkopo), na

Mashujaa yachukua kitasa Pamba Read More »

Fountain Gate kutangaza kocha mpya

Fountain Gate imesema muda wowote itamtambulisha Kocha Mkuu mpya wa kimataifa kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Ofisa Habari wa klabu hiyo, Issa Liponda alisema kikosi kipo kambini Morogoro kikiendelea na mazoezi na pia wanatafuta mechi za kirafiki ili kuongeza viwango vya wachezaji. Aliongeza kuwa wamesajili wachezaji wenye ubora wa kimataifa

Fountain Gate kutangaza kocha mpya Read More »

Azam: Haikuwa rahisi kumpata Fofana

Klabu ya Azam imeeleza ugumu ilioupata katika kumsajili kipa Issa Fofana kutoka Al Hilal ya Sudan, pamoja na wachezaji wawili wa Tunisia, Baraket Hmidi na Ben Zitoune Tayeb. Mkuu wa Habari wa Azam, Thabit Zacharia alisema wachezaji kutoka Afrika Kaskazini mara nyingi husita kuja kucheza Tanzania kutokana na mazingira mapya wasiyozoea. Fofana, ambaye aliisaidia Al

Azam: Haikuwa rahisi kumpata Fofana Read More »