Michezo

Morrison: Hata ningebaki mguu mmoja, nisingetoka

Winga wa KenGold FC, Bernard Morrison, amesema asingekubali kutoka uwanjani hata kama angekuwa na mguu mmoja baada ya kugomea kubadilishwa katika mechi dhidi ya Simba waliyochapwa 5-0. Morrison, ambaye alisifika kwa vituko alipokuwa Simba na Yanga, alisema yeye ndiye aliyekuwa anaisumbua Simba kuliko wachezaji wengine wa KenGold: “Hata kama ningebaki na mguu mmoja bado nisingetoka,

Morrison: Hata ningebaki mguu mmoja, nisingetoka Read More »

Miloud amwaga mkwara Dodoma Jiji

Kocha wa Yanga, Miloud Hamdi, ametamba kuwa anaiandaa timu yake kupata ushindi mkubwa dhidi ya Dodoma Jiji FC, kama ilivyofanya dhidi ya Tanzania Prisons (5-0), ili kujiweka sawa kuelekea dabi na Simba. Yanga itacheza dhidi ya Dodoma Jiji Jumapili ijayo kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Hamdi amesema ushindi huo ni muhimu kwa sababu

Miloud amwaga mkwara Dodoma Jiji Read More »

Fadlu Afunguka, aitaja Dabi

Kocha wa Simba, Fadlu Davids, amethibitisha rasmi kuwa timu yake inajiandaa kwa mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga utakaopigwa Juni 25, Uwanja wa Benjamin Mkapa. Fadlu alitoa kauli hiyo baada ya ushindi wa 5-0 dhidi ya Kengold FC, akieleza kuwa kwanza watakamilisha mchezo dhidi ya Kagera Sugar kabla ya kuelekeza nguvu zote kwenye

Fadlu Afunguka, aitaja Dabi Read More »

NMB yadhamini Bonanza la Wiki ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi

Katika kuadhimisha Wiki ya Maonesho ya Kitaifa ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi, Benki ya NMB imedhamini na kushiriki bonanza maalum lililoandaliwa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) mjini Singida. Bonanza hilo, lililofanyika katika Uwanja wa VETA – Singida, lilikutanisha makampuni kutoka sekta binafsi na ya umma yaliyoshindana katika michezo

NMB yadhamini Bonanza la Wiki ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Read More »

Zuhura: Michezo ni mwarobaini magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwa wafanyakazi

NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus amesisitiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga tabia ya kushiriki michezo na kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao na kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza ambayo yanawakabili watu wengi ulimwenguni. Zuhura alitoa wito huo wakati akifunga Bonanza la michezo (OSHA Bonanza)

Zuhura: Michezo ni mwarobaini magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwa wafanyakazi Read More »

Simba yatua Afrika Kusini kuandika historia ya Kombe la Shirikisho

Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, amesema kikosi chake kimewasili Afrika Kusini kwa kazi moja tu—kuhakikisha kinatinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Akizungumza jijini Durban baada ya kutua kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Stellenbosch FC Jumapili hii, Fadlu amesema hana hofu yoyote na amejiandaa kikamilifu kuhakikisha Simba inafanikiwa. Katika mchezo

Simba yatua Afrika Kusini kuandika historia ya Kombe la Shirikisho Read More »