Michezo

Mgunda aondoka Klabu ya Simba

Klabu ya Simba Sc imethibitisha kuwa Kocha Juma Ramadhani Mgunda hatokuwa sehemu ya benchi la ufundi la timu ya Wanawake wa Simba Queens baada ya mkataba wake kutamatika na kubainisha kuwa kikosi hicho kwa sasa kitakuwa chini ya Kocha msaidizi, Mussa Hassan Mgosi ambae tayari ameshaanza maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu ambayo itaanza […]

Mgunda aondoka Klabu ya Simba Read More »

Zaidi ya wananchi 1,000 kushiriki mbio za Shangilieni Marathon

ZAIDI  ya wananchi  1000  wanatarajiwa kushiriki  mbio za SHANGILIENI Marathon msimu wa pili  ambazo zimekuwa zikiandaliwa mahususi kwa ajili ya kuimarisha Afya na kusaidia jamii iliyopo pembezoni kwa kuchangia huduma ya afya . Hayo yamesemwa mkoani Arusha na Mratibu wa SHANGILIENI MARATHON, Scolastica Porokwa Porokwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya mbio hizo.  Amesema

Zaidi ya wananchi 1,000 kushiriki mbio za Shangilieni Marathon Read More »

Dodoma Jiji yahamishia makao Babati

KLABU ya Dodoma Jiji imetangaza  itautumia Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati, mkoani Manyara katika mechi zake za nyumbani za Ligi Kuu kwa sasa wakati wakiufanyia marekebisho Uwanja wa Jamhuri jijini, Dodoma. Ofisa Habari wa Dodoma Jiji, Moses Mpunga, aliliambia gazeti hili watatumia kama uwanja wake wa nyumbani na wataanza katika mchezo wao dhidi ya

Dodoma Jiji yahamishia makao Babati Read More »

Exim Bima Festival 2024: Burudani yenye lengo la kuboresha huduma za Afya ya Akili 

Mwezi Septemba, Benki ya Exim Tanzania inawakaribisha Watanzania wote na wadau mbalimbali kujumuika pamoja kwa ajili ya jambo muhimu na la kipekee; Afya ya Akili. Ikiwa inasherehekea miaka 27 ya kuwahudumia Watanzania tangu kuanzishwa kwake, benki ya Exim inakuja na Exim Bima Festival 2024, ikiwa na kaulimbiu ‘Amsha Matumaini’, ambayo itafanyika mnamo tarehe 28 Septemba

Exim Bima Festival 2024: Burudani yenye lengo la kuboresha huduma za Afya ya Akili  Read More »

Fadlu, Ahoua bora Agosti

Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amechaguliwa kuwa kocha bora wa Ligi Kuu Bara wa mwezi Agosti huku nyota wa timu hiyo, Jean Charles Ahoua akichaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya mwezi huo. Fadlu amewapiga chini Patrick Aussems wa Singida Black Stars na Abdalah Mohamed wa Mashujaa alioingia nao fainali baada ya kocha huyo raia

Fadlu, Ahoua bora Agosti Read More »

Ndoa ya Dabo na Azam imevunjika

Klabu ya Azam FC imetangaza rasmi kuachana na kocha Youssouph Dabo na kuvunja benchi la ufundi la timu hiyo. Taarifa iliyotolewa na Azam FC leo Septemba 3, 2024 inaeleza kuwa uamuzi huo umechukuliwa baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili. “Bodi ya wakurugenzi ya Azam FC na kocha, Youssouph Dabo, wamefikia makubaliano ya pande

Ndoa ya Dabo na Azam imevunjika Read More »

Benki ya TCB yajitosa kukuza sekta ya filamu, Sanaa nchini

BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imeshiriki katika kikao kazi cha uzinduzi wa Tamasha la Kimataifa la Maendeleo ya Filamu na Sanaa Tanzania linalotarajiwa kufanyika mwezi wa Desemba mwaka huu. Tamasha hilo limeratibiwa na taasisi ya FAGDI (Foundation Ambassadors Gender Development Initiatives) ikishirikiana na Bodi ya Filamu Tanzania. Tamasha hilo linawakutanisha wadau wa filamu na sanaa

Benki ya TCB yajitosa kukuza sekta ya filamu, Sanaa nchini Read More »