Michezo

Rais Samia atoa milioni 30 kwa Serengeti Girls’

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha Million 30 kwa ajili ya Timu Taifa ya Wasichana ‘Serengeti Girls’, baada ya kutwaa Ubingwa wa UNAF U-17 fainali zilizofanyika Tunisia 2024. Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt.Damas Ndumbaro amewakabidhi fedha hizo wachezaji hao kwenye Makao Makuu ya Shirikisho la […]

Rais Samia atoa milioni 30 kwa Serengeti Girls’ Read More »

Mgunda aondoka Klabu ya Simba

Klabu ya Simba Sc imethibitisha kuwa Kocha Juma Ramadhani Mgunda hatokuwa sehemu ya benchi la ufundi la timu ya Wanawake wa Simba Queens baada ya mkataba wake kutamatika na kubainisha kuwa kikosi hicho kwa sasa kitakuwa chini ya Kocha msaidizi, Mussa Hassan Mgosi ambae tayari ameshaanza maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu ambayo itaanza

Mgunda aondoka Klabu ya Simba Read More »

Zaidi ya wananchi 1,000 kushiriki mbio za Shangilieni Marathon

ZAIDI  ya wananchi  1000  wanatarajiwa kushiriki  mbio za SHANGILIENI Marathon msimu wa pili  ambazo zimekuwa zikiandaliwa mahususi kwa ajili ya kuimarisha Afya na kusaidia jamii iliyopo pembezoni kwa kuchangia huduma ya afya . Hayo yamesemwa mkoani Arusha na Mratibu wa SHANGILIENI MARATHON, Scolastica Porokwa Porokwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya mbio hizo.  Amesema

Zaidi ya wananchi 1,000 kushiriki mbio za Shangilieni Marathon Read More »

Dodoma Jiji yahamishia makao Babati

KLABU ya Dodoma Jiji imetangaza  itautumia Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati, mkoani Manyara katika mechi zake za nyumbani za Ligi Kuu kwa sasa wakati wakiufanyia marekebisho Uwanja wa Jamhuri jijini, Dodoma. Ofisa Habari wa Dodoma Jiji, Moses Mpunga, aliliambia gazeti hili watatumia kama uwanja wake wa nyumbani na wataanza katika mchezo wao dhidi ya

Dodoma Jiji yahamishia makao Babati Read More »