Michezo

Hussein Kazi, atimkia Namungo

Beki wa kati wa Simba, Hussein Kazi, amejiunga na Namungo FC kwa mkataba wa mwaka mmoja baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka miwili na Simba. Kiongozi wa Namungo amethibitisha usajili huo, akisema walipambana kumnasa kutokana na timu nyingi kumtaka. Kazi alijiunga na Simba mwaka 2023 kutoka Geita Gold lakini hakupata nafasi ya kudumu kwenye

Hussein Kazi, atimkia Namungo Read More »

Chama anukia Azam FC!

Kiungo mshambuliaji wa Zambia, Clatous Chama, anatajwa kujiunga na Azam FC baada ya kumaliza mkataba na Yanga. Endapo atasajiliwa, ataweka historia ya kuchezea klabu zote tatu kubwa nchini—Simba, Yanga na Azam. Habari zinasema Azam FC inalenga wachezaji wenye uzoefu wa kimataifa kwa ajili ya Kombe la Shirikisho, na Chama anaonekana kuwa chaguo bora. Usajili huu

Chama anukia Azam FC! Read More »

Morrison: Hata ningebaki mguu mmoja, nisingetoka

Winga wa KenGold FC, Bernard Morrison, amesema asingekubali kutoka uwanjani hata kama angekuwa na mguu mmoja baada ya kugomea kubadilishwa katika mechi dhidi ya Simba waliyochapwa 5-0. Morrison, ambaye alisifika kwa vituko alipokuwa Simba na Yanga, alisema yeye ndiye aliyekuwa anaisumbua Simba kuliko wachezaji wengine wa KenGold: “Hata kama ningebaki na mguu mmoja bado nisingetoka,

Morrison: Hata ningebaki mguu mmoja, nisingetoka Read More »