Michezo

Exim Bima Festival 2024: Burudani yenye lengo la kuboresha huduma za Afya ya Akili 

Mwezi Septemba, Benki ya Exim Tanzania inawakaribisha Watanzania wote na wadau mbalimbali kujumuika pamoja kwa ajili ya jambo muhimu na la kipekee; Afya ya Akili. Ikiwa inasherehekea miaka 27 ya kuwahudumia Watanzania tangu kuanzishwa kwake, benki ya Exim inakuja na Exim Bima Festival 2024, ikiwa na kaulimbiu ‘Amsha Matumaini’, ambayo itafanyika mnamo tarehe 28 Septemba

Exim Bima Festival 2024: Burudani yenye lengo la kuboresha huduma za Afya ya Akili  Read More »

Fadlu, Ahoua bora Agosti

Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amechaguliwa kuwa kocha bora wa Ligi Kuu Bara wa mwezi Agosti huku nyota wa timu hiyo, Jean Charles Ahoua akichaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya mwezi huo. Fadlu amewapiga chini Patrick Aussems wa Singida Black Stars na Abdalah Mohamed wa Mashujaa alioingia nao fainali baada ya kocha huyo raia

Fadlu, Ahoua bora Agosti Read More »

Ndoa ya Dabo na Azam imevunjika

Klabu ya Azam FC imetangaza rasmi kuachana na kocha Youssouph Dabo na kuvunja benchi la ufundi la timu hiyo. Taarifa iliyotolewa na Azam FC leo Septemba 3, 2024 inaeleza kuwa uamuzi huo umechukuliwa baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili. “Bodi ya wakurugenzi ya Azam FC na kocha, Youssouph Dabo, wamefikia makubaliano ya pande

Ndoa ya Dabo na Azam imevunjika Read More »

Benki ya TCB yajitosa kukuza sekta ya filamu, Sanaa nchini

BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imeshiriki katika kikao kazi cha uzinduzi wa Tamasha la Kimataifa la Maendeleo ya Filamu na Sanaa Tanzania linalotarajiwa kufanyika mwezi wa Desemba mwaka huu. Tamasha hilo limeratibiwa na taasisi ya FAGDI (Foundation Ambassadors Gender Development Initiatives) ikishirikiana na Bodi ya Filamu Tanzania. Tamasha hilo linawakutanisha wadau wa filamu na sanaa

Benki ya TCB yajitosa kukuza sekta ya filamu, Sanaa nchini Read More »

Benki ya NBC yachochea ukuaji sekta ya Michezo, Burudani na Utalii Zanzibar, Rais Samia, Dk.Mpango wapongeza

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mwishoni mwa wiki ilishiriki kikamilifu kwenye Tamasha la Kizimkazi Zanzibar kwa kuandaa matukio kadhaa ya kimichezo, burudani na utalii visiwani humo yaliyohusisha uwepo wa viongozi wakuu wa nchi wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango na viongozi

Benki ya NBC yachochea ukuaji sekta ya Michezo, Burudani na Utalii Zanzibar, Rais Samia, Dk.Mpango wapongeza Read More »

“Fountain Gate ni timu nzuri, tumejiandaa vizuri lakini”

“Fountain Gate ni timu nzuri sana ambayo imejitengeneza vizuri kwenye ulinzi. Tumejiandaa vizuri lakini tunawachukulia kwa uzito mkubwa na tunawaheshimu kama timu nzuri na tumejiandaa kama siku zote kwa ajili ya kuchukua pointi tatu. “Nafurahishwa na njia zetu za kutengeneza nafasi na kufungua wapinzani. Tunataka kuwa na aina ya uchezaji wa haraka. Nina uhakika Fountain

“Fountain Gate ni timu nzuri, tumejiandaa vizuri lakini” Read More »

Singida BS yajifungia Dar

KIKOSI cha Singida Black Stars kimeweka kambi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya mazoezi kwenye viwanja vya nyasi bandia kabla ya kuivaa Kagera Sugar, Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Kaitaba ulioko Bukoba, mkoani Kagera. Ofisa Habari wa Kagera Sugar, Hussein Massanza, amesema jana wamewasili Dar kwa lengo la kuweka mikakakati ya kuhakikisha wanapata

Singida BS yajifungia Dar Read More »