Tabora United yajichimbia ikiwaza pointi 9
KIKOSI cha Tabora United kimeondoka Tabora Mjini na kwenda kuweka kambi sehemu ambayo haijatajwa kwa ajili ya kujiwinda kuikabili Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa Septemba 11, mwaka huu kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, imeelezwa. Ofisa Habari wa Tabora United, Christina Mwagala, amesema hawataki timu yao ijulikane ilipoweka kambi kwa […]
Tabora United yajichimbia ikiwaza pointi 9 Read More »