Miloud amwaga mkwara Dodoma Jiji
Kocha wa Yanga, Miloud Hamdi, ametamba kuwa anaiandaa timu yake kupata ushindi mkubwa dhidi ya Dodoma Jiji FC, kama ilivyofanya dhidi ya Tanzania Prisons (5-0), ili kujiweka sawa kuelekea dabi na Simba. Yanga itacheza dhidi ya Dodoma Jiji Jumapili ijayo kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Hamdi amesema ushindi huo ni muhimu kwa sababu […]
Miloud amwaga mkwara Dodoma Jiji Read More »