Fountain Gate yamsimamisha Kipa John Noble kwa uzembe dhidi ya Yanga
Uongozi wa Fountain Gate unadaiwa kumsimamisha kipa wake Mnigeria, John Noble kwa makosa yanayodaiwa kuwa ni ya kizembe mna kuigharimu timu hiyo kukubali kichapo cha mabao 4-0 kutoka kwa Yanga. Noble amefungwa mabao mawili kati ya manne waliyofungwa na Yanga akicheza kwa dakika 45 za kipindi cha kwanza kabla ya benchi la ufundi kufanya uamuzi […]
Fountain Gate yamsimamisha Kipa John Noble kwa uzembe dhidi ya Yanga Read More »