NMB yakabidhi Vifaa vya Michezo vya mil. 19/- kwa timu za JWTZ
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeishukuru Benki ya NMB kwa namna inavyojitoa kuunga mkono Sekta ya Michezo ndani ya jeshi hilo, kwa kufadhili na kuwezesha ushiriki wa Timu za Majeshi katika michuano mbalimbali, pamoja na kudhamini uendeshaji wa mashindano yake. Shukrani hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Utimamu wa Mwili, Michezo, Sanaa na Utamaduni wa […]
NMB yakabidhi Vifaa vya Michezo vya mil. 19/- kwa timu za JWTZ Read More »