Ibenge afichua sababu Azam kufungwa na JKT Tanzania
Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema uchovu wa mazoezi magumu na kukosekana kwa wachezaji 12 walioko kwenye michuano ya CHAN 2024 ndizo sababu za kupoteza 2-1 dhidi ya JKT Tanzania kwenye mechi ya kirafiki jijini Arusha. Ibenge amesema mchezo huo ulikuwa kipimo cha kuangalia mapungufu na mifumo ya timu kabla ya mashindano ya kimataifa. […]
Ibenge afichua sababu Azam kufungwa na JKT Tanzania Read More »










