IAA, Misitu zang’aa fainali za Ligi ya mikoa
Timu za IAA SC ya Arusha na Misitu FC ya Tanga zimeanza kwa ushindi katika fainali za Ligi ya Mikoa zinazoendelea kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. IAA iliifunga Bara FC ya Dar es Salaam mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza wa Kundi A, huku Misitu FC ikiibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi […]
IAA, Misitu zang’aa fainali za Ligi ya mikoa Read More »