Rais Samia: Hongera Klabu ya Simba
Rais Samia: Hongera Klabu ya Simba Read More »
Wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho, Simba SC, imeondoka na zawadi nono ya Goli la Mama ya Sh Milioni 20 kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan. Fedha hizo zimetokana na timu hiyo ya Tanzania kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wageni wao
Simba yavuna Milioni 20 za Rais Samia Read More »
Klabu ya Tanzania Prisons imeapa kuibuka na ushindi dhidi ya JKT Tanzania leo kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kusalia Ligi Kuu. Kocha Amani Josiah amesema wamejiandaa vizuri na kufanya mazoezi ya kimbinu, wakifahamu kuwa wanakutana na moja ya timu ngumu kwenye ligi. Mchezaji Wema Sadoki na kipa Sebusebu Samson
Prisons wapania kuifanya JKT ngao kubaki Ligi Kuu Read More »
Kocha wa Chipukizi United, Mzee Abdallah, amesema timu yake imetimiza nusu ya lengo lao baada ya kushinda mechi moja kati ya mbili walizocheza visiwani Unguja. Chipukizi walishinda mchezo mmoja na kupoteza mwingine dhidi ya Malindi SC kwa bao 1-0. Kocha huyo amesema walikosa makini katika umaliziaji licha ya kutengeneza nafasi nyingi. Timu hiyo inarejea Pemba
Chipukizi United yatimia nusu ya lengo Unguja Read More »
Klabu ya Tabora United imemfuta kazi kocha Genesis Mang’ombe, raia wa Zimbabwe, ikiwa ni chini ya mwezi tangu aanze kuinoa timu hiyo. Kocha huyo alikuwa amerithi mikoba ya Anicet Makiadi. Afisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Charles Obiny, amesema Mang’ombe ameondolewa kutokana na ukosefu wa uzoefu na uwezo mdogo wa kiufundi. Alieleza kuwa hata mazoezi
Tabora United yamtimua Kocha Genesis Mang’ombe Read More »
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki na winga wa Azam FC, Gibrill Sillah, wanaongoza kwa kufunga mabao kwa kutumia mguu wa kushoto kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu. Takwimu za Bodi ya Ligi zinaonyesha kila mmoja amefunga mabao sita kwa mguu huo, sawa na mshambuliaji mwenzao wa Azam, Nassor Saadun, ambaye mabao yake
Aziz Ki, Sillah wakimbizana mabao kwa mguu wa kushoto Read More »
Klabu ya Simba imeingia mkataba mpya wa miaka mitano na kampuni ya Jayrutty Investment, wenye thamani ya Shilingi bilioni 38, ambao unaihakikishia klabu hiyo mapato ya takriban Shilingi bilioni 8 kwa mwaka. Kupitia mkataba huo, Simba itapokea Sh bilioni 7.6 kila mwaka pamoja na nyongeza ya Sh milioni 570 kwa ajili ya posho, motisha kwa
Simba kuvuna bilioni 8 kwa Mwaka kupitia mkataba mpya wa jezi Read More »
*Yatoa msaada wa vifaa maalum kwa watu wenye ulemavu Kwa miaka ishirini na tano, Vodacom Tanzania PLC imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuchochea maendeleo endelevu katika jamii. Msafara wa Twende Butiama wa mwaka 2025 kwa mara nyingine unadhaminiwa na Vodacom na litahusisha msafara wa umbali wa karibu kilomita 1,500 likipita katika mikoa 11 kuanzia tarehe
Vodacom yazindua Twende Butiama 2025 kwa lengo la kuboresha Elimu, Afya na Mazingira Read More »
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeishukuru Benki ya NMB kwa namna inavyojitoa kuunga mkono Sekta ya Michezo ndani ya jeshi hilo, kwa kufadhili na kuwezesha ushiriki wa Timu za Majeshi katika michuano mbalimbali, pamoja na kudhamini uendeshaji wa mashindano yake. Shukrani hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Utimamu wa Mwili, Michezo, Sanaa na Utamaduni wa
NMB yakabidhi Vifaa vya Michezo vya mil. 19/- kwa timu za JWTZ Read More »
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma akimkabidhi nahodha wa timu ya Simba SC, Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ milioni 30 ikiwa ni ahadi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa timu za Tanzania zinazoibuka na ushindi kwenye mashindano ya Kimataifa, ambapo jana April 9, 2025 kwenye mchezo wa robo fainali ya Kombe
Simba ilivyokabidhiwa milioni 30 zawadi ya Goli la Mama Read More »