Michezo

Fountain Gate yamsimamisha Kipa John Noble kwa uzembe dhidi ya Yanga

Uongozi wa Fountain Gate unadaiwa kumsimamisha kipa wake Mnigeria, John Noble kwa makosa yanayodaiwa kuwa ni ya kizembe mna kuigharimu timu hiyo kukubali kichapo cha mabao 4-0 kutoka kwa Yanga. Noble amefungwa mabao mawili kati ya manne waliyofungwa na Yanga akicheza kwa dakika 45 za kipindi cha kwanza kabla ya benchi la ufundi kufanya uamuzi

Fountain Gate yamsimamisha Kipa John Noble kwa uzembe dhidi ya Yanga Read More »

Rais Samia ampongeza Alphonce Simbu ushindi wa pili Boston Marathon

Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa pongezi za dhati kwa mwanariadha Alphonce Simbu kwa kushika nafasi ya pili katika Mashindano ya Kimataifa ya Mbio za Boston (Boston Marathon) yaliyofanyika hivi karibuni nchini Marekani. Kupitia salamu zake, Rais Samia amesema: “Pongezi za dhati kwa Alphonce Simbu kwa kushika nafasi ya pili katika Mashindano ya Kimataifa ya Mbio

Rais Samia ampongeza Alphonce Simbu ushindi wa pili Boston Marathon Read More »