Michezo

Vodacom yazindua Twende Butiama 2025 kwa lengo la kuboresha Elimu, Afya na Mazingira

*Yatoa msaada wa vifaa maalum kwa watu wenye ulemavu Kwa miaka ishirini na tano, Vodacom Tanzania PLC imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuchochea maendeleo endelevu katika jamii. Msafara wa Twende Butiama wa mwaka 2025 kwa mara nyingine unadhaminiwa na Vodacom na litahusisha msafara wa umbali  wa karibu kilomita 1,500 likipita katika mikoa 11 kuanzia tarehe

Vodacom yazindua Twende Butiama 2025 kwa lengo la kuboresha Elimu, Afya na Mazingira Read More »

NMB yakabidhi Vifaa vya Michezo vya mil. 19/- kwa timu za JWTZ

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeishukuru Benki ya NMB kwa namna inavyojitoa kuunga mkono Sekta ya Michezo ndani ya jeshi hilo, kwa kufadhili na kuwezesha ushiriki wa Timu za Majeshi katika michuano mbalimbali, pamoja na kudhamini uendeshaji wa mashindano yake. Shukrani hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Utimamu wa Mwili, Michezo, Sanaa na Utamaduni wa

NMB yakabidhi Vifaa vya Michezo vya mil. 19/- kwa timu za JWTZ Read More »