Michezo

Waziri Ndumbaro atangaza fursa lukuki kwenye tamasha la tatu la utamaduni

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro ameeleza kuwa, Tamasha la tatu la Utamaduni la Kitaifa Songea litatoa fursa lukuki kwa wakazi wa mkoa wa Ruvuma na mikoa ya jirani katika nyanja za kibiashara, bidhaa za asili, vyakula, malazi, usafiri na litaambatana na mafunzo, semina na midahalo mbalimbali kuhusu Sekta za Utamaduni, Sanaa […]

Waziri Ndumbaro atangaza fursa lukuki kwenye tamasha la tatu la utamaduni Read More »

NBC yashiriki mbio za Ruangwa Marathon, yasisitiza dhamira yake kuchochea ukuaji sekta ya michezo nchini

Benki ya Taifa ya Biashara NBC imeshiriki msimu wa pili wa mbio za Ruangwa Marathon 2024 huku ikisisitiza  dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono jitihada mbalimbali za wadau wa michezo nchini kupitia ushiriki, ufadhili, ubunifu na utoaji wa huduma mbalimbali zikiwemo za kifedha mahususi kwa wadau wa sekta hiyo. Dhamira ya benki hiyo ni sehemu

NBC yashiriki mbio za Ruangwa Marathon, yasisitiza dhamira yake kuchochea ukuaji sekta ya michezo nchini Read More »