Michezo

Ndoa ya Dabo na Azam imevunjika

Klabu ya Azam FC imetangaza rasmi kuachana na kocha Youssouph Dabo na kuvunja benchi la ufundi la timu hiyo. Taarifa iliyotolewa na Azam FC leo Septemba 3, 2024 inaeleza kuwa uamuzi huo umechukuliwa baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili. “Bodi ya wakurugenzi ya Azam FC na kocha, Youssouph Dabo, wamefikia makubaliano ya pande […]

Ndoa ya Dabo na Azam imevunjika Read More »

Benki ya TCB yajitosa kukuza sekta ya filamu, Sanaa nchini

BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imeshiriki katika kikao kazi cha uzinduzi wa Tamasha la Kimataifa la Maendeleo ya Filamu na Sanaa Tanzania linalotarajiwa kufanyika mwezi wa Desemba mwaka huu. Tamasha hilo limeratibiwa na taasisi ya FAGDI (Foundation Ambassadors Gender Development Initiatives) ikishirikiana na Bodi ya Filamu Tanzania. Tamasha hilo linawakutanisha wadau wa filamu na sanaa

Benki ya TCB yajitosa kukuza sekta ya filamu, Sanaa nchini Read More »

Benki ya NBC yachochea ukuaji sekta ya Michezo, Burudani na Utalii Zanzibar, Rais Samia, Dk.Mpango wapongeza

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mwishoni mwa wiki ilishiriki kikamilifu kwenye Tamasha la Kizimkazi Zanzibar kwa kuandaa matukio kadhaa ya kimichezo, burudani na utalii visiwani humo yaliyohusisha uwepo wa viongozi wakuu wa nchi wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango na viongozi

Benki ya NBC yachochea ukuaji sekta ya Michezo, Burudani na Utalii Zanzibar, Rais Samia, Dk.Mpango wapongeza Read More »

“Fountain Gate ni timu nzuri, tumejiandaa vizuri lakini”

“Fountain Gate ni timu nzuri sana ambayo imejitengeneza vizuri kwenye ulinzi. Tumejiandaa vizuri lakini tunawachukulia kwa uzito mkubwa na tunawaheshimu kama timu nzuri na tumejiandaa kama siku zote kwa ajili ya kuchukua pointi tatu. “Nafurahishwa na njia zetu za kutengeneza nafasi na kufungua wapinzani. Tunataka kuwa na aina ya uchezaji wa haraka. Nina uhakika Fountain

“Fountain Gate ni timu nzuri, tumejiandaa vizuri lakini” Read More »

Singida BS yajifungia Dar

KIKOSI cha Singida Black Stars kimeweka kambi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya mazoezi kwenye viwanja vya nyasi bandia kabla ya kuivaa Kagera Sugar, Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Kaitaba ulioko Bukoba, mkoani Kagera. Ofisa Habari wa Kagera Sugar, Hussein Massanza, amesema jana wamewasili Dar kwa lengo la kuweka mikakakati ya kuhakikisha wanapata

Singida BS yajifungia Dar Read More »

Mingange kuinoa Stand United FC

ALIYEKUWA kocha wa Ndanda FC na Mashujaa, Meja Mstaafu Abdul Mingange, ametua katika timu ya Stand United ya Shinyanga ambayo itashiriki Ligi ya Championship msimu mpya. Taarifa iliyotolewa na Stand United, inasema wamempa Mingange mkataba wa mwaka mmoja na wanaamini anauwezo wa kusaidia kuipandisha daraja timu hiyo iliyoteremka msimu wa 2018/19. “Mingange ndiyo kocha wetu

Mingange kuinoa Stand United FC Read More »

Simba Queens, PVB Buyenzi kuvaana

KIKOSI cha Simba Queens kinatarajia kukutana na PVB Buyenzi kutoka Burundi katika mechi ya mwisho ya Kundi B ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), itakayochezwa leo kwenye Uwanja wa Abebe Bikila jijini Addis Ababa, Ethiopia. Tayari Simba Queens ambayo ni vinara wa Kundi B wameshatinga hatua ya nusu fainali ya michuano

Simba Queens, PVB Buyenzi kuvaana Read More »

Timu za Tanzania zaendelea kugawa dozi michuano FEASSSA 2024

TIMU za Tanzania zinazoshiriki michuano ya Shule za Msingi na Sekondari ya Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSSA) zimeendelea kung’ara kwa kugawa dozi kwa timu pinzani katika michezo mbalimbali inayofanyika Mji wa Mbale nchini Uganda. Michuano hiyo inayofanyika viwanja vya Shule ya Sekondari Bukedea Mjini humo, Agosti 21, 2024, Timu ya Soka ya wasichana

Timu za Tanzania zaendelea kugawa dozi michuano FEASSSA 2024 Read More »