Michezo

Serikali yataka Watanzania wajaze uwanja michuano ya CHAN

Serikali imewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushangilia timu zote zinazoshiriki mashindano ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), yanayoendelea Tanzania, Kenya na Uganda. Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema haipendezi uwanja kuwa mtupu timu nyingine zisizo Taifa Stars zinapocheza. Alieleza kuwa mashindano […]

Serikali yataka Watanzania wajaze uwanja michuano ya CHAN Read More »

Mama Samia aingiza nguvu mpya Netiboli – Ligi Kuu kuanza Dar

Taasisi ya Twende Pamoja na Mama Sports Promotion kwa kushirikiana na Chama cha Mpira wa Pete Tanzania (CHANETA) imepanga kuendesha Ligi Kuu ya Netiboli itakayoanza hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu, Kassim Ahmad, alisema lengo ni kufufua mchezo huo na kuufikisha viwango vya kimataifa, wakipanga pia kwenda mikoani kukutana na maskauti ili

Mama Samia aingiza nguvu mpya Netiboli – Ligi Kuu kuanza Dar Read More »

Watanzania wazindua jukwaa la michezo la kidijitali

Wabunifu wa Kitanzania wamezindua jukwaa jipya la kidijitali la Piku, lenye mfumo wa mnada wa kipekee unaompa ushindi mshiriki aliyeweka dau dogo la kipekee lisilorudiwa na mwingine. Piku, iliyosajiliwa rasmi na kupata leseni ya Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT), inalenga kutoa zawadi mbalimbali za thamani kubwa kwa gharama ndogo. Meneja Uendeshaji wa Biashara,

Watanzania wazindua jukwaa la michezo la kidijitali Read More »