Tabora United yamtimua Kocha Genesis Mang’ombe
Klabu ya Tabora United imemfuta kazi kocha Genesis Mang’ombe, raia wa Zimbabwe, ikiwa ni chini ya mwezi tangu aanze kuinoa timu hiyo. Kocha huyo alikuwa amerithi mikoba ya Anicet Makiadi. Afisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Charles Obiny, amesema Mang’ombe ameondolewa kutokana na ukosefu wa uzoefu na uwezo mdogo wa kiufundi. Alieleza kuwa hata mazoezi […]
Tabora United yamtimua Kocha Genesis Mang’ombe Read More »