Serikali yataka Watanzania wajaze uwanja michuano ya CHAN
Serikali imewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushangilia timu zote zinazoshiriki mashindano ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), yanayoendelea Tanzania, Kenya na Uganda. Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema haipendezi uwanja kuwa mtupu timu nyingine zisizo Taifa Stars zinapocheza. Alieleza kuwa mashindano […]
Serikali yataka Watanzania wajaze uwanja michuano ya CHAN Read More »










