Kocha wa Yanga aapa kulipa kisasi dhidi ya Tabora United
Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi, ameweka wazi kuwa timu yake lazima ishinde dhidi ya Tabora United kwenye uwanja wao wa nyumbani kesho, ili kulipa kisasi cha kufungwa 3-1 katika mchezo wa kwanza Novemba 7, mwaka jana. Hamdi amesema wachezaji wa Yanga wanatambua umuhimu wa mechi hiyo na wanawajibika kurejesha furaha kwa mashabiki baada ya […]
Kocha wa Yanga aapa kulipa kisasi dhidi ya Tabora United Read More »