Weasel asimulia maumivu baada ya kugongwa na mkewe
Mwanamuziki wa Uganda, Douglas Mayanja ‘Weasel’, ameeleza masaibu aliyopitia baada ya mkewe, Sandra Teta, kumgonga kwa gari mara tatu katika baa ya Shan’s, Munyonyo, kufuatia ugomvi wa kifamilia. Tukio hilo lilisababisha miguu yake kuvunjika na kulazwa hospitalini akitarajiwa kufanyiwa upasuaji. Kupitia Instagram, Weasel amewashukuru mashabiki kwa salamu za pole na kuahidi kupona hivi karibuni. Polisi […]
Weasel asimulia maumivu baada ya kugongwa na mkewe Read More »