Michezo

Bahati Nasibu ya Taifa yashirikiana na Vodacom M-Pesa kuwezesha miamala kidijitali

Bahati Nasibu ya Taifa ya Tanzania leo imesaini ushirikiano na jukwaa bora la huduma za kifedha kwa njia ya simu hapa nchini, Vodacom M-pesa, Ili kurahisisha miamala ya bahati nasibu ya Taifa na kupanua fursa za kibiashara kupitia mfumo wa fedha wa kidijitali. Kuunganishwa kwa bahati nasibu ya Taifa kwenye jukwaa la M-Pesa, kutawapa watumiaji […]

Bahati Nasibu ya Taifa yashirikiana na Vodacom M-Pesa kuwezesha miamala kidijitali Read More »

Sare zatawala Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege yaendelea kuongoza

Michezo miwili ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa juzi Jumapili katika Uwanja wa Cairo, Kiwengwa, Kisiwani Unguja, ilimalizika kwa sare. Vinara wa ligi hiyo, Mlandege FC, walilazimishwa sare ya bao 1-1 na Maafande wa Zimamoto SC katika mchezo uliopigwa majira ya saa nane mchana. Katika mchezo mwingine uliochezwa saa 10 alasiri, majirani wa Mwembe Makumbi City

Sare zatawala Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege yaendelea kuongoza Read More »

Naibu Waziri wa Fedha azindua Bahati Nasibu ya Taifa, hatua Kubwa michezo ya kubahatisha Tanzania

Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande, amezindua rasmi Bahati Nasibu ya Taifa Tanzania, hatua kubwa kwa sekta ya michezo ya kubahatisha nchini. Uzinduzi huo umefanyika katika hafla ya kihistoria ambapo Chande ameeleza umuhimu wa mpango huo katika kuchochea maendeleo ya kitaifa, kuongeza ajira, na kuhamasisha ufadhili wa miradi ya kijamii. Katika hotuba yake, Chande amesema,

Naibu Waziri wa Fedha azindua Bahati Nasibu ya Taifa, hatua Kubwa michezo ya kubahatisha Tanzania Read More »