Bahati Nasibu ya Taifa yashirikiana na Vodacom M-Pesa kuwezesha miamala kidijitali
Bahati Nasibu ya Taifa ya Tanzania leo imesaini ushirikiano na jukwaa bora la huduma za kifedha kwa njia ya simu hapa nchini, Vodacom M-pesa, Ili kurahisisha miamala ya bahati nasibu ya Taifa na kupanua fursa za kibiashara kupitia mfumo wa fedha wa kidijitali. Kuunganishwa kwa bahati nasibu ya Taifa kwenye jukwaa la M-Pesa, kutawapa watumiaji […]
Bahati Nasibu ya Taifa yashirikiana na Vodacom M-Pesa kuwezesha miamala kidijitali Read More »