Makocha wamiminika Mtibwa Sugar kuomba kazi
Klabu ya Mtibwa Sugar imeeleza kuwa imepokea wasifu kutoka kwa makocha mbalimbali wa ndani na nje ya nchi waliotuma maombi ya kukinoa kikosi hicho kwa msimu ujao wa Ligi Kuu. Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru, amesema mchakato wa kutafuta kocha unaendelea vizuri na kwamba benchi la ufundi la msimu uliopita halitavunjwa kwani ndilo […]
Makocha wamiminika Mtibwa Sugar kuomba kazi Read More »