Michezo

Majaliwa akabidhiwa tuzo ya Rais Samia kutoka kwa wadau wa masumbwi nchini

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kasimu Majaliwa, amepokea tuzo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyokabidhiwa na wadau wa ngumi nchini kwa kuthamini na kuendeleza sekta ya michezo nchini. Waziri Mkuu pia amekabidhi tuzo kwa wadau wa Michezo kwa kuipigania sekta hiyo kwa jasho na damu […]

Majaliwa akabidhiwa tuzo ya Rais Samia kutoka kwa wadau wa masumbwi nchini Read More »

Rais Samia apiga simu pambano la KO ya Mama, awapa neno mabondia Watanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amepiga simu kwenye pambano la KnockoutYaMama (KO ya Mama) na kuwapa salamu za Sikukuu ya Krismasi na kuwatakia mwaka mpya mwema mashabiki waliofurika kwenye ukumbi wa The Super Dome, Masaki kushuhudia pambano hilo. Katika salamu zake, Rais Samia pia aliwataka mabondia Watanzania kupambana na kuipeperusha vema bendera ya Tanzania. Katika salamu

Rais Samia apiga simu pambano la KO ya Mama, awapa neno mabondia Watanzania Read More »

Msimu wa Tatu wa Rombo Marathon 2024 Wafanikiwa kwa Kishindo

Msimu wa tatu wa Rombo Marathon 2024 umehitimishwa kwa mafanikio makubwa, ukiongozwa na Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete, ambaye alihamasisha wanariadha wa Tanzania kutumia maeneo ya Rongai Forest kwa mazoezi, yakiwa na mazingira ya miinuko na misitu ya asili. Mbio hizo, zilizofanyika Desemba 23, zilihudhuriwa na maelfu ya wakazi wa Rombo, mikoa jirani, na wageni

Msimu wa Tatu wa Rombo Marathon 2024 Wafanikiwa kwa Kishindo Read More »

Timu ya Tenisi ya Walemavu yaandaa mikakati ya kufuzu Kombe la Dunia

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya tenisi kwa walemavu, Riziki Salum, ametangaza kuwa maandalizi ya mashindano ya kuwania tiketi ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia yameanza rasmi. Mashindano hayo ya kufuzu kwa mataifa ya Afrika yatafanyika Februari 2-25 mwakani nchini Morocco. Salum amesema timu hiyo inalenga kuunda kikosi imara kupitia mashindano ya maandalizi

Timu ya Tenisi ya Walemavu yaandaa mikakati ya kufuzu Kombe la Dunia Read More »

Punguzo maalum la usajili Kilimanjaro International Marathon linakaribia kumalizika

Wakati siku za tukio la mbio za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon kwa mwaka wa 2025, zikikaribia washiriki wamekumbushwa kuwa muda wa punguzo la bei kwa ajili ya usajili huo unakaribia kumalizika. Taarifa iliyotolewa na waandaaji wa hafla hiyo ambayo imekuwa maarufu Barani Afrika, imesema kuwa muda wa punguzo la hilo unatarajiwa kumalizika ifikapo

Punguzo maalum la usajili Kilimanjaro International Marathon linakaribia kumalizika Read More »