Ramovic afichua siri ya ushindi Yanga
Kocha Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic, amesema mshikamano wa wachezaji wake katika kushambulia na kuzuia pamoja bila kutegeana ndiyo sababu ya mafanikio ya timu hiyo. Akizungumza baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Dodoma Jiji, Ramovic alisisitiza kuwa bado wanajipanga kuwa na utimamu wa mwili kwa asilimia 100 ili kucheza kwa kasi kwa dakika […]
Ramovic afichua siri ya ushindi Yanga Read More »