Sunday, December 7, 2025
spot_img
HomeHabariMwanasheria Mkuu Johari, Katibu Mkuu Mary Maganga na DG PSSSF katika Viwanja...

Mwanasheria Mkuu Johari, Katibu Mkuu Mary Maganga na DG PSSSF katika Viwanja vya Bunge

Mwanasheria Mkuu wa serikali Hamza Johari (kulia) akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu) Mary Maganga (wakwanza kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Abdul-Razaq Badru (wapili kushoto) na watendaji wengine wa PSSSF, kabla ya kuingia kwenye kikao na kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, leo bungeni jijini Dodoma.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments