PICHA: Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofautitofauti ya Picha aliposhiriki Siku ya pili ya Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Taifa uliofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete JKCC Mkoani Dodoma leo Mei 30, 2025.








