Tuesday, March 17, 2026
spot_img
HomeHabariPicha ya pamoja ya Rais Samia na maafisa wapya baada ya kuwatunuku...

Picha ya pamoja ya Rais Samia na maafisa wapya baada ya kuwatunuku kamisheni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Maafisa wapya Mara baada ya kuwatunuku Kamisheni ya cheo Cha Luteni Usu wakati wa maafali yaliyofanyika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha leo November 28, 2024.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments