Saturday, March 21, 2026
spot_img
HomeHabariRais Samia aahidi milioni 30

Rais Samia aahidi milioni 30

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha Tsh. Milioni 30 kwenye harambee ya ukarabati wa jengo la kanisa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flavian Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa kushirikiana na Baba Paroko Padri Japheth Masalu wa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome.


Rais Samia ametoa ahadi hiyo kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments