Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akifurahia mapokezi na burudani kutoka kwa watoto wakati wa tukio la uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kisayansi wa kujenga Umahiri wa Kujua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kuanzia wanafunzi wa elimu ya awali mpaka Darasa la Pili leo Januari 29, 2026.














