Rais Samia akabidhi boti 35 za uvuvi Pangani akiendelea na ziara yake Tanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliposhiriki hafla ya kukabidhi Boti 35 za Uvuvi Wilaya ya Pangani Tanga wakati wa mwendelezo wa Ziara yake ya kikazi Mkoani humo leo February 26, 2025.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *