Rais Samia alivyowasili TMA Monduli kwa hafla ya kutunuku kamisheni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili Chuo Cha Mafunzo ya kijeshi (TMA) Monduli Mkoani Arusha Kutunuku Kamisheni na kushiriki Mahafali kwa Maafisa Wanafunzi kundi la 05/21BMS na kundi la 71/23 (Regular) leo November 28, 2024.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *