Friday, March 20, 2026
spot_img
HomeHabariRais Samia apewa zawadi ya msaafu kutoka Islamic Foundation Morogoro

Rais Samia apewa zawadi ya msaafu kutoka Islamic Foundation Morogoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya Msaafu kutoka kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Islamic Foundation wakati wa hafla ya Uwekaji Jiwe la Msingi kwenye Mradi wa Ujenzi wa Msikiti wa Ghaith Mkoani Morogoro leo November 25, 2024.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments