Rais Samia na wakuu wa nchi za EAC washiriki mkutano wa ndani AICC, Arusha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akiwa na baadhi ya wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwenye mkutano wa ndani uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Jijini Arusha leo Novemba 30, 2024.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *