Saturday, March 21, 2026
spot_img
HomeMichezoTFF yaufungulia Uwanja wa Jamhuri Dodoma

TFF yaufungulia Uwanja wa Jamhuri Dodoma

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia Uwanja wa Jamhuri Dodoma baada ya kukidhi vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu.

Uwanja huo awali ulifungiwa kutokana na changamoto za miundombinu, lakini baada ya maboresho, umepitishwa kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu. TFF imezikumbusha klabu kuboresha viwanja vyao kwa ajili ya kuongeza ushindani na thamani ya ligi.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments