Sunday, December 7, 2025
spot_img
HomeMichezoUbora wa New Amaan Complex wapandisha CHAN Zanzibar

Ubora wa New Amaan Complex wapandisha CHAN Zanzibar

Waziri wa Michezo Zanzibar Tabia Maulid Mwita amesema viwango vya juu vya Uwanja wa New Amaan Complex ndio sababu CAF imepeleka mechi za Kundi D la CHAN visiwani humo.

Michuano hiyo inaanza Agosti 2 kwa Taifa Stars kucheza na Burkina Faso jijini Dar, na mchezo wa kwanza Zanzibar utapigwa Agosti 5.

Zaidi ya kamera 42 za usalama, benchi maalum la viongozi wa CAF na miundombinu ya viwango vya kimataifa imekamilishwa. Rais wa ZFF Suleiman Jabir amewashukuru Rais Dk. Hussein Mwinyi kwa uwekezaji mkubwa katika sekta ya michezo.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments