Thursday, December 11, 2025
spot_img
HomeBiasharaMkazi Dar: Amani inastawisha shughuli kiuchumi

Mkazi Dar: Amani inastawisha shughuli kiuchumi

Wakazi wa Dar es Salaam wametoa wito wa kuzingatiwa na kudumishwa kwa amani nchini, wakisema ndio msingi wa ustawi wa maisha ya watu.

Wamesisitiza matishio ya vurugu yanavyoathiri shughuli za kiuchumi na biashara, hasa Desemba ambayo mara nyingi huwa mwezi wenye faida.

Mfanyabiashara wa vifaa vya magari, Hamis Kiloko ni mmoja wa wakazi hao, amesema ni muhimu kudumisha amani na kuepuka vurugu, kwani zinaathiri biashara yake.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments