Monday, December 8, 2025
spot_img
HomeHabariArusha yazizima kwa shamrashamra kumpokea Dk. Samia

Arusha yazizima kwa shamrashamra kumpokea Dk. Samia

Shamrashamra zimepamba moto mkoani Arusha kuelekea mkesha wa kumpokea Dkt. Samia Suluhu Hassan, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), utakaofanyika tarehe 1 Oktoba 2025 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Karume.

Kesho yake, tarehe 2 Oktoba 2025, Dkt. Samia atahutubia maelfu ya wananchi wa Arusha kupitia mkutano mkubwa wa hadhara wa kampeni za uchaguzi mkuu.

Kwa hakika, mti mkubwa hujulikana kwa kivuli chake, tukutane site.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments