Monday, December 15, 2025
spot_img
HomeMichezoPawasa awapa somo Taifa Stars

Pawasa awapa somo Taifa Stars

Mwanasoka wa zamani wa Taifa Stars, Boniface Pawasa, amewataka wachezaji kutuliza akili na kuongeza umakini wanapojiandaa na AFCON Morocco, licha ya kupoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya Kuwait.

Amesema timu ilionesha ushindani na anashauri wachezaji kuwa na mawasiliano mazuri uwanjani ili kuepuka makosa rahisi. Pia amempongeza Kocha Miguel Gamondi kwa kikosi alichokiita na kumtaka kuendelea kuboresha mapungufu aliyoyaona.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments