Afya

Amref Tanzania yakabidhi magari TAMISEMI, kuimarisha huduma za afya

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia afya Dk. Grace Magembe amewaelekeza Makatibu Tawala wa Mikoa ya Mara na Simiyu kuyatunza magari wanayokabidhiwa ili yaendelee kuwahudumia wananchi katika eneo la afya kwa muda mrefu zaidi. Dkt.  Grace ameyasema hayo katika zoezi la kukabidhi magari mawili kwa Makatibu Tawala waliowakilishwa na Waganga Wakuu wa Mikoa […]

Amref Tanzania yakabidhi magari TAMISEMI, kuimarisha huduma za afya Read More »

LSF, Smile for Community wajengea vyoo shule za sekondari Mtwara

SHIRIKA la Uwezeshaji wa Kisheria linalofahamika kama Legal Service Facilities(LSF), kwa kushirikiana na wadau wengine wakiwamo Smile for Community, wamechangia kuboresha miundombinu ya shule ya Sekondari ya Nanyamba na Mnyawi zilizopo mkoani Mtwara. Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Run for Binti, Flora Njelekela amesema maboresho waliyofanya kwenye shule hizo ni ujenzi wa vyoo vyenye matundu

LSF, Smile for Community wajengea vyoo shule za sekondari Mtwara Read More »

Madaktari wa Tanzania wahitimisha kambi tiba Comoro kwa ufanisi mkubwa

MADAKTARI wa Tanzania wamerejea nchini baada ya kuhitimisha Kambi tiba nchini Comoro kwa kutoa huduma kwa wagonjwa 2,770 na kufanya upasuaji kwa wagonjwa saba. Kwenye kambi hiyo ya siku saba wameweza kubaini wagonjwa takriban 269 wanahitaji rufaa za matibabu zaidi nje ya nchi na pia kuainisha fursa zaidi za ushirikiano katika sekta ya Afya. Akizungumza

Madaktari wa Tanzania wahitimisha kambi tiba Comoro kwa ufanisi mkubwa Read More »

Mhagama atoa kongole kwa Amref Tanzania katika kupambana na UKIMWI

Waziri wa Afya, Jenista Mhagama, amelipongeza Shirika la Amref Tanzania kwa mchango wake mkubwa katika mapambano dhidi ya UKIMWI, hasa kupitia matumizi ya teknolojia ya kisasa ya utambuzi wa vidole (Biometric Fingerprint) kusaidia utoaji wa huduma bora za afya. Mhagama ametoa pongezi hizo wakati wa ziara yake katika banda la Amref Tanzania kwenye Viwanja vya

Mhagama atoa kongole kwa Amref Tanzania katika kupambana na UKIMWI Read More »

Kambi Tiba ya Madaktari wa Tanzania Comoro yaanza kwa kishindo

KAMBI Tiba ya Madaktari Bingwa kutoka Tanzania nchini Comoro imeanza kwa mwitikio mkubwa wa wananchi wa nchini humo ambapo mamia wamejitokeza kupata huduma mbali mbali zinazotolewa kwa ushirikiano na madakatari wazawa katika Kisiwa cha Ngazidja. Madaktari hao wa Tanzani wametoa huduma za uchunguzi na matibabu katika matatizo ya mifupa,figo na kibofu cha mkojo, mifupa, saratani,

Kambi Tiba ya Madaktari wa Tanzania Comoro yaanza kwa kishindo Read More »

Tanzania Yaendelea Kung’ara Kwenye Utalii wa Tiba

📌Madaktari bingwa 20 waenda Comoro kutoa matibabu MADAKTARI bingwa 20 kutoka hospitali kubwa nchini wamesafiri kwenda nchini Comoro kwaajili ya kuweka kambi ya wiki moja ya uchunguzi na utoaji huduma za kibingwa za magonjwa mbalimbali ikiwemo upasuaji wa moyo, saratani na ubongo. Madaktari hao wanatoka  Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Saratani ya Ocean

Tanzania Yaendelea Kung’ara Kwenye Utalii wa Tiba Read More »

Dk. Rutachunzibwa: Mtanzania wa kwanza kutibu saratani bila upasuaji

Dk. Fredy Rutachunzibwa wa Hospitali ya Kairuki ameweka historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kufuzu mafunzo ya kutibu saratani kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya HIFU (High-Intensity Focused Ultrasound). Teknolojia hiyo inatoa tiba isiyo ya upasuaji kwa kutumia mawimbi ya sauti yenye nguvu kuteketeza seli za saratani kwa usahihi. Akizungumza leo Dk. Rutachunzibwa ameeleza kuwa

Dk. Rutachunzibwa: Mtanzania wa kwanza kutibu saratani bila upasuaji Read More »

Muhimbili yarejesha tabasamu kwa mtoto Maliki aliyekatwa koo na dada wa kazi

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imerejesha tabasamu kwa mtoto Maliki Hashimu (6), mkazi wa Goba, Dar es Salaam, aliyekatwa koo na anayedaiwa kuwa ni dada wa kazi ‘hausigeli’. Maliki, ametibiwa kwa miezi minne MNH,  kwa matibabu yaligharimu Sh. milioni 15 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa msaada wa Rais Samia Suluhu Hassan.  Maliki, alipoteza

Muhimbili yarejesha tabasamu kwa mtoto Maliki aliyekatwa koo na dada wa kazi Read More »