Amref Tanzania yakabidhi magari TAMISEMI, kuimarisha huduma za afya
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia afya Dk. Grace Magembe amewaelekeza Makatibu Tawala wa Mikoa ya Mara na Simiyu kuyatunza magari wanayokabidhiwa ili yaendelee kuwahudumia wananchi katika eneo la afya kwa muda mrefu zaidi. Dkt. Grace ameyasema hayo katika zoezi la kukabidhi magari mawili kwa Makatibu Tawala waliowakilishwa na Waganga Wakuu wa Mikoa […]
Amref Tanzania yakabidhi magari TAMISEMI, kuimarisha huduma za afya Read More »