MSD yapata tuzo kwa kuwezesha matibabu ya moyo nchini
Bohari ya Dawa (MSD) imetunukiwa tuzo maalum na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kutambua mchango na ushirikiano wake katika kuboresha huduma na matibabu ya Programu za Moyo nchini. Tuzo hiyo maalum, ilikabidhiwa na Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Dkt. Nassor Ahmed Mazrui, wakati akifunga mkutano wa Kimataifa wa […]
MSD yapata tuzo kwa kuwezesha matibabu ya moyo nchini Read More »