“Ni kweli niliwahi kusema sitacheza tena kwa timu yoyote nchini Tanzania, lakini baada ya kuona mradi wa Singida Black Stars, nilibadilisha mawazo yangu. Mimi ni mpenzi wa ushindani, na Singida ni timu yenye ushindani mkubwa. Namfahamu Kocha Gamondi, ambaye ni kocha anayeishi kwa ushindani. Hii ndiyo sababu nyingine kubwa iliyonifanya nikubali kujiunga na Singida Black Stars.”- @auchokhalidofficial









