Dk.Mpango aipongeza Wizara ya Maji usimamizi na utekelezaji wa miradi ya maji nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Philip Mpango ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Maji Ibihwa, Wilayani Bahi, Jijini Dodoma. Mpango ameipongeza Wizara ya Maji kwa usimamizi mzuri na utejelezaji wa miradi ya maji nchini.Pamoja na hilo pongezi hizi zimejukisha mradi wa maji Ibihwa na kusisitiza kuongeza kasi ya […]
Dk.Mpango aipongeza Wizara ya Maji usimamizi na utekelezaji wa miradi ya maji nchini Read More »