Admin

Timu ya Tenisi ya Walemavu yaandaa mikakati ya kufuzu Kombe la Dunia

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya tenisi kwa walemavu, Riziki Salum, ametangaza kuwa maandalizi ya mashindano ya kuwania tiketi ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia yameanza rasmi. Mashindano hayo ya kufuzu kwa mataifa ya Afrika yatafanyika Februari 2-25 mwakani nchini Morocco. Salum amesema timu hiyo inalenga kuunda kikosi imara kupitia mashindano ya maandalizi

Timu ya Tenisi ya Walemavu yaandaa mikakati ya kufuzu Kombe la Dunia Read More »

NBC Bank unveils TZS 27.2 billion Bond to Empower Tanzania’s SME Sector

The National Bank of Commerce (NBC) has officially launched Series 1 of its second tranche of the NBC Twiga bond, valued at TZS 27.2 billion, marking a significant initiative aimed at strengthening the small and medium-sized enterprises (SMEs) throughout Tanzania. The strategic move underscores NBC’s dedication to enhancing financial access and promoting economic development in

NBC Bank unveils TZS 27.2 billion Bond to Empower Tanzania’s SME Sector Read More »

Waziri Chana amuapisha Kamishna Uhifadhi NCAA, ampa maagizo mazito 

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Chana amemuapisha na kumvisha cheo cha kijeshi Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, CC Dk. Elirehema Joshua Doriye huku akimtaka kuitumia nafasi hiyo kuonesha utendaji uliotukuka na wenye tija kwa maslahi ya Watanzania wote. Hayo yamejiri katika hafla ya kuvishwa cheo na kuapishwa kwa

Waziri Chana amuapisha Kamishna Uhifadhi NCAA, ampa maagizo mazito  Read More »

Watoto yatima waishukuru PSSSF kuwakumbuka Sikukuu 

WATOTO yatima wa Kituo cha kulea watoto wenye uhitaji cha Huruma kilichoko Tabata na Yoco kilichoko Kinyerezi jijini Dar es Salaam wametoa shukurani kwa watumishi wa PSSSF kundi la wakimbiaji (PSSSF RUNNERS) kwa kuwapatia misaada mbalimbali ikiwemo vyakula. Agnes Milali, ni mtoto anayelelewa katika kituo cha Yoco kilichoko Kinyerezi,  amesema misaada hiyo itawasaidia, amewashukuru watumishi

Watoto yatima waishukuru PSSSF kuwakumbuka Sikukuu  Read More »

Gridi za Tanzania na Kenya kuimarisha upatikanaji wa  umeme- Mha. Gissima Nyamo-Hanga

📌 Awahimiza wataalamu kusimamia zoezi la kuziunganisha Gridi za Tanzania na Kenya kwa umakini bila kuathiri upatikanaji wa umeme kwenye mfumo wa Gridi ya umeme Nchini 📌 Aeleza faida za Tanzania kufanya biashara katika soko la EAPP na SAPP Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) Mha. Gissima Nyamo-Hanga amesema kuimarika kwa mfumo

Gridi za Tanzania na Kenya kuimarisha upatikanaji wa  umeme- Mha. Gissima Nyamo-Hanga Read More »

Tanzania, Saudi Arabia Kuimarisha Ushirikiano Sekta Ya Nishati

📌 Waziri Kapinga afanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Nishati Saudi Arabia 📌 Wajadili ushirikiano katika Mafuta, Gesi Asilia, Nishati Jadidifu na Nishati Safi ya Kupikia 📌 Saudi Arabia yaeleza kutambua juhudi za Tanzania kuimarisha Sekta ya Nishati 📍SAUDI ARABIA Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Saudi Arabia katika kuimarisha

Tanzania, Saudi Arabia Kuimarisha Ushirikiano Sekta Ya Nishati Read More »

Watumishi OSHA Waaswa Kuzingatia Weledi Katika Kusimamia Usalama na Afya Kazini

Watumishi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) wametakiwa kuzingatia weledi katika kutekeleza jukumu lao la msingi la kusimamia usalama na afya mahali pa kazi ili kuwahakikishia wananchi upatikanaji wa huduma bora. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mary Maganga, alipokuwa akifunga

Watumishi OSHA Waaswa Kuzingatia Weledi Katika Kusimamia Usalama na Afya Kazini Read More »

Verified by MonsterInsights