Kapinga aeleza juhudi za serikali kusambaza vituo vya CNG nchini
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania ( TPDC), inajenga vituo vya kujazia gesi kwenye magari (CNG) mkoani Dar es Salaam (viwili) na mkoani Pwani (kimoja) huku TPDC ikiendelea na ununuzi wa vituo vidogo vya kujaza CNG kwenye magari vinavyohamishika ambavyo vitasimikwa […]
Kapinga aeleza juhudi za serikali kusambaza vituo vya CNG nchini Read More »